Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,378
- 105,212
Mimi niko hapoo uki zoom unaniona
Mimi niko hapoo uki zoom unaniona
Dah! Ukweli mchungu huu.Kwa Simba hii Karia na TFF yake wajiandae kupokea malalamiko hewa kuwa Yanga anabebwa.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mmeshaanza kumkataa topu skola wenu?Hivi huyu kocha huwa anaona nini kwa Saido?
Mbona sisi tupo live uwanjani afu mnachokiandika hatukioni mbona mnadanganya watu mitandaoni? shoo ya kawaida sana mara mseme alikiba sjui kaweje mara sjui ubunifu! upi sasa
Tupo uwanjani live acheni mhemko uongo uongo tu
Huyu Saidoo ni moja kati ya wachezaji ambao huwa wanaua sana moves za Simba Sc, ila sijui kocha huwa anaona nini kwa huyu jamaa.
Kwa style hii kocha ataua vipaji vya wachezaji wengi kwa benchi, kuna kila dalili za kikosi "KAUKA NIKAVE" kama msimu uliopita.
Mbona sisi tupo live uwanjani afu mnachokiandika hatukioni mbona mnadanganya watu mitandaoni? shoo ya kawaida sana mara mseme alikiba sjui kaweje mara sjui ubunifu! upi sasa
Tupo uwanjani live acheni mhemko uongo uongo tu
Una wachezaji wa maana benchi ila unataka Ntiba acheze 80 dk.Saido ni garashaa
Hawezi kulea vipaji vya wachezaji huyu.Robertino atakuwa kocha wa kwanza kufukuzwa msimu huu.
Ubingwa tungeupata kama tungekuwa na wachezaji kama Skudu, au sio?Hii timu yangu tujitahidi tushike nafasi ya nne, ubingwa kwa wachezaji hawa tusahau
Hivi huyu kocha huwa anaona nini kwa Saido?
Hii timu yangu tujitahidi tushike nafasi ya nne, ubingwa kwa wachezaji hawa tusahau
Kumbuka huyu ni Top Scorer wa msimu uliopita. Hivyo lazima mwalimu ampe hadhi yake anayostahili.Una wachezaji wa maana benchi ila unataka Ntiba acheze 80 dk.