CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,735
Yes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.Naangalia Azam , aisee uwanja utajaa hata kabla ya saa nane ,hii nyomi si mchezo