mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,601
- 8,879
Wewe ndo umeongea leo wangekuwa na wachezaji quality walikuwa wanapata hata goli 4Ki kweli ila quality ya wachezaji wa simba ipo chini huwezi kutaka kupanda mlima kilimanjaro kilele cha africa na singlend isee..
kama simba tunahitaji kufika mbali kwa haya mashindano basi lazima tuwe serious kwenye usajili wa wachezaji