FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

Dah jamani kama Kuna member wa group la Whatsapp la Simba(wekundu wa terminal) anijuze group linaendeleaje??walintoa kwenye group mwaka juzi wakati nlkuwa nawaambia ukweli kuhusu Simba yetu..
Tena wakanidisi vby mno,,ni group la kpuuz sana member hutakiwa kuhoji chochote kuhusu mwenendo wa timu,usajili mbovu n.k......yaani unatakiwa usapoti tuu hata upuuzi.
Kwa elimu yangu nliyoipata shule ya msingi tandale na elimu ya mtaani toka manzese-buck town nikasema hapana,siwezi kuendana na umbumbumbu.
 
Dah jamani kama Kuna member wa group la Whatsapp la Simba(wekundu wa terminal) anijuze group linaendeleaje??walintoa kwenye group mwaka juzi wakati nlkuwa nawaambia ukweli kuhusu Simba yetu..
Tena wakanidisi vby mno,,ni group la kpuuz sana member hutakiwa kuhoji chochote kuhusu mwenendo wa timu,usajili mbovu n.k......yaani unatakiwa usapoti tuu hata upuuzi.
Kwa elimu yangu nliyoipata shule ya msingi tandale na elimu ya mtaani toka manzese-buck town nikasema hapana,siwezi kuendana na umbumbumbu.
Simba hawataki ukweli
 
Dah jamani kama Kuna member wa group la Whatsapp la Simba(wekundu wa terminal) anijuze group linaendeleaje??walintoa kwenye group mwaka juzi wakati nlkuwa nawaambia ukweli kuhusu Simba yetu..
Tena wakanidisi vby mno,,ni group la kpuuz sana member hutakiwa kuhoji chochote kuhusu mwenendo wa timu,usajili mbovu n.k......yaani unatakiwa usapoti tuu hata upuuzi.
Kwa elimu yangu nliyoipata shule ya msingi tandale na elimu ya mtaani toka manzese-buck town nikasema hapana,siwezi kuendana na umbumbumbu.
Simba yet mbovu Sana tusubirie msimu ujao
 
Dah jamani kama Kuna member wa group la Whatsapp la Simba(wekundu wa terminal) anijuze group linaendeleaje??walintoa kwenye group mwaka juzi wakati nlkuwa nawaambia ukweli kuhusu Simba yetu..
Tena wakanidisi vby mno,,ni group la kpuuz sana member hutakiwa kuhoji chochote kuhusu mwenendo wa timu,usajili mbovu n.k......yaani unatakiwa usapoti tuu hata upuuzi.
Kwa elimu yangu nliyoipata shule ya msingi tandale na elimu ya mtaani toka manzese-buck town nikasema hapana,siwezi kuendana na umbumbumbu.
Hahaahahah sipati picha hilo group uandishi wao. Humo wazee wa kuchanganya R na L kama wote.
 
Simba ni kama wanahujumiana hivi. Kuna jambo haliko sawa ndani ya timu, na hawataki kulisemawak

Dah jamani kama Kuna member wa group la Whatsapp la Simba(wekundu wa terminal) anijuze group linaendeleaje??walintoa kwenye group mwaka juzi wakati nlkuwa nawaambia ukweli kuhusu Simba yetu..
Tena wakanidisi vby mno,,ni group la kpuuz sana member hutakiwa kuhoji chochote kuhusu mwenendo wa timu,usajili mbovu n.k......yaani unatakiwa usapoti tuu hata upuuzi.
Kwa elimu yangu nliyoipata shule ya msingi tandale na elimu ya mtaani toka manzese-buck town nikasema hapana,siwezi kuendana na umbumbumbu.
Simba imejaa machawa wengi ukihoji utasikia mtu anakuuliza we umetoa shilingi ngapi au wanakusingizi wewe ni yanga.
Hai ndio wanapewa vijisenti kulamba miguu viongozi wabovu.
 
Endeleani kukomaa na vyura kama mlivyokomaa kwa Mamelodi alipopangwa na Yanga mkaacha shughuli zenu na kuumbuka kwa kipigo kitakatifu. Msipojifunza kujali ya kwenu mnapoteza kila sehemu msimu huu.
Binafsi nafurahi kuwaangalia Vyura wanavyoteseka kukaba dk 90 ili wafike penati halafu wazipaishe.
 
Binafsi nafurahi kuwaangalia Vyura wanavyoteseka kukaba dk 90 ili wafike penati halafu wazipaishe.
Kwa akili hizi mnastahili kuongozwa na Akina Try again na Mangungu. Endeleani kufurahia ya vyura ambaye ana makombe mawili anayapigania msimu huu
 
Back
Top Bottom