Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,403
- 54,913
Nakazia Tutakunywa Dodoma WineSimba tupo pamoja
Nakazia Tutakunywa Dodoma WineSimba tupo pamoja
Mama nibebe leo zisiwepo basi manake daah
Saa 1Habari za jioni ? Samahani nauliza mechi inaanza saa ngapi?
Saa moja mkuu (1900)Habari za jioni ? Samahani nauliza mechi inaanza saa ngapi?
Asante sanaSaa 1
Ahsante sanaSaa moja mkuu (1900)
Kufikisha miaka 50 wewe sidhani maana utaugua magonjwa ya moyo na pressure mapema sanaKocha badala ya kuongelea tactics, preparations na analysis ya game yeye ni "tunamshukuru mwenyezi Mungu" tu. Katika mahojiano yake you gain nothing, daily ni same shit.
Kikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Dodoma Jiji FCView attachment 2491720
Shukrani, nimepitia ila nikawa sijaona palipo andikwa muda wa kuanza inawezekana hata macho ya utu uzima yanachangia kutoona vzrOkay.. Wakati mwingine pitia Uzi mpaka mwisho, huwa hatukosi kueleza muda wa mchezo.
Kama hapa mwisho kuna sehemu inasema... Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1:00 Usiku
Inaonekana huyu kocha ni muumini wa falsafa ya kuchezesha dual strikerKikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Dodoma Jiji FCView attachment 2491720