Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,994
Dah..! Nitaumia sanaNia yao uonekane mganga fake
Dah..! Nitaumia sanaNia yao uonekane mganga fake
Tungekuwa na uhakika kuwa Azam wataifunga Yanga tungewaachia,lakini hatuwezi kucheza kamari itabidi tuwafunge tu wanetu ili kuhakikisha kuwa Yanga itacheza mashindano ya CAF kwa mbeleko yetu tu. Ni hayo tu mgosi.Kwa unyonge mkubwa, nawatakia ushindi Azam fc! Maana natambua fika ni Simba B.
Tena wazikwe kabisa.Sema Azam Katika kumekufa Kabisa
Ila Refs anawabeba Sana Nyie Nyau FcTena wazikwe kabisa.