FT: Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup | Simba SC Vs Azam FC | 1- 0 Uwanja wa Maji Maji

90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa ASFC

Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa bao moja kwa bila na kutinga fainali dhidi ya Azam FC.

ASFC, FT: Simba SC 1-0 Azam FC

..... Ghazwat
 
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa ASFC

Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa bao moja kwa bila na kutinga fainali dhidi ya Azam FC.

ASFC, FT: Simba SC 1-0 Azam FC

..... Ghazwat
More extra power
Screenshot_20210626-162205.jpg
 
Huyu refa huyu!!! Mbona kama amewapa advantage Mbumbumbu fc!!! Alitakiwa awe fair bhana!!! Watu hawajajipanga, yeye anaruhusu wauza ice cream kufungwa kizembe hivi!!

Inauma sana.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom