OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,207
- 103,782
we dakika zimeenda unaanza kuleta stori na refa. wahuni wamekupiga fasta
Pole, ila karibu mjini utatukuta.Huyu refa huyu!!! Mbona kama amewapa advantage Mbumbumbu fc!!! Alitakiwa awe fair bhana!!! Watu hawajajipanga, yeye anaruhusu wauza ice cream kufungwa kizembe hivi!!
Inauma sana.
Hahaha we jamaa utopolo itakuua niwapi refa alisimamisha mpira!!!Kwa Marefa wa namna hii ndio tutegemee tutapiga hatua katika soka!! Mambo ya aibu Sana katika mpira wetu. Yaani refa ana simamisha mpira, anaongea na wachezaji, timu nyingine Ina anzisha mpira infunga goli anaweka Kati.
Halafu hawakushindaUkiona post za uto ndo utajua kwanini walitaka azam ashinde
Refa akishapiga filimbi ya faul maana yake mpira umesimama, na kitendo Cha kuongea na wachezaji wa Azam wakati wanaweka ukuta maanayake mpira haupo mchezoni.Hahaha we jamaa utopolo itakuua niwapi refa alisimamisha mpira!!!
Huyu refa atakuwa ni Mjumbe wa Kamati kuu ya ccm bila shaka! Yaani ameipa Simba ushindi kwa bao la mkono!! 😁😁Kwa Marefa wa namna hii ndio tutegemee tutapiga hatua katika soka!! Mambo ya aibu Sana katika mpira wetu. Yaani refa ana simamisha mpira, anaongea na wachezaji, timu nyingine Ina anzisha mpira infunga goli anaweka Kati.
Ukiweka kwenye kanuni haitoshi mzee mpili kutoa tamkoHuyu refa atakuwa ni Mjumbe wa Kamati kuu ya ccm bila shaka! Yaani ameipa Simba ushindi kwa bao la mkono!! 😁😁
Hujui kitu,kwanini wachezaji huwa wanasimama mbele ya mpira mara faul inapotokea?Au unadhani huwa wanajikuta tu?Refa akishapiga filimbi ya faul maana yake mpira umesimama, na kitendo Cha kuongea na wachezaji wa Azam wakati wanaweka ukuta maanayake mpira haupo mchezoni.
Mzee Mpili yeye anasemaje kuhusu hili bao?Refa akishapiga filimbi ya faul maana yake mpira umesimama, na kitendo Cha kuongea na wachezaji wa Azam wakati wanaweka ukuta maanayake mpira haupo mchezoni.