haihalalishi kila siku ndo tucheze kwenye hali za hivi...Tulicheza na Mtibwa Morogoro msimu uliopita hali ikiwa mbaya kuliko leo
Pambaneni, baada ya mechi tathmini itafanyikahaihalalishi kila siku ndo tucheze kwenye hali za hivi...
Ndiyo ilitakiwa sasa iwe mwisho kutumia uwanja mbovu kwenye ligi kuu.Tulicheza na Mtibwa Morogoro msimu uliopita hali ikiwa mbaya kuliko leo
Duh nimekua mfupi 🧐🧐🧐 ikija selfika part two utanionaUlivyo mfupi nani akupe namba 😂😂😂
Twende ukaselfike nione 😂😂Duh nimekua mfupi 🧐🧐🧐 ikija selfika part two utaniona
Sema hili la kuambiwa andunje linakera hv 🤣🤣nitag kwenye Uzi uliopoa kbs Uzi ambao ni menopauseTwende ukaselfike nione 😂😂
Ila mi nakujua we andunje
Ole wako ulete picha sio yako nitajua 😂😂😂Sema hili la kuambiwa andunje linakera hv 🤣🤣nitag kwenye Uzi uliopoa kbs Uzi ambao ni menopause
Offside wanapata JKT
Yanga kwenye control