JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Dakika 90 zimekamilika matokeo bado ni 0-0, zimeongezwa dakika 30.
Michezo michezo 8 iliyopita baina ya timu hizi, Liverpool imeshinda mara moja na sare zilikuwa nane.
Ushindani ni mkali, timu zote zinashambuliana kwa zamu.
Dakika 15 za kwanza zimekamilika, kipute kumalizia dakika 15 za mwisho kimeanza
Bado matokeo ni 0-0
Kipa wa Liverpool amefanya saves kadhaa za hatari
Mambo mazuri yameanza ndani ya kikosi cha Liverpool hiyo ni baada ya kubeba Carabao Cup 2023 kwa kuifunga Chelsea kwa goli 1-0 likifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 118 baada ya matokeo ya 0-0 katika dakika 90 za kawaida, mtanange ukipigwa kwenye Uwanja wa Wembley Jijini London