Man U aliwahi kunifanya Nimchape kibao Mwanangu bila sababu 🤣🤣🤣..Mtani bora simba, huyo mwingine ni hatari zaidi. 😁
Wanamnyima kwa Sababu ni MzawaJamaa nyota imeng'aa sana kwa kweli.
Wampe nafasi, ana kitu
Ahaa presha ya mamelod sawaYanga alifungwa kwa sababu ya mashindano ya kimataifa.
KokokokokokUkijifanya Kuangalia Bila kuvizia unaweza kumtukana mpaka mama Mkwe 🤣🤣🤣
🤣 mkuu VAR inaumuhimu san TanzaniaCheck Ball
Ifike hatua tumjaji mtu kwa uwezo.Wanamnyima kwa Sababu ni Mzawa
Mwenye guts za kusema hivyo ni wewe au Sunday Manara na Kikwete?Yanga tumuite mme mjinga wa Simba. Ila Simba tumuite mke mwerevu ya Yanga
Linesman anaona vyema kabisa. Manake anatakiwa awe kwenye angle sahihi.Ndio muachage kuwalaumu marefa sasa
ananijua au ananisikiaa? Nataka nimuoneshee mie ni mwendawazimu kushinda kichaa yeye.Jilinde tu asije akageuza kibao