Front Page ya Gazeti la Uwazi

Front Page ya Gazeti la Uwazi

mgomba101

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
1,822
Reaction score
711
attachment.php

Kwa aina hii ya uandishi tunaelekea kubaya!
 

Attachments

  • pengo.jpg
    pengo.jpg
    113.9 KB · Views: 2,430
Ukisoma kilichopo ndani ni upuuzi mtupu. Hakiusiani na kichwa cha habari.
 
Huwa sipendi kuchangia mambo ya kidini, ngoja niwe mpore nione mwisho wa hili sakata najua kitanuka tu.
 
anakoeleka kubaya
laana ya viongozi wa dini ni mbaya kuliko laana ya mzazi
mind you mtaona mwisho wa Shigongo na kampuni yake.kanisa
sidhani kama watakuwa na muda wa kuargue na wachumia tumbo kama hawa
sala zao zinatosha kutoa majibu
 
Serikali inasubiri nini kulifungia kwa muda usiojulikana kwa kuandika mambo wasiyokuwa na uhakika nayo.Maana hii pia ni aina ya kutaka kusababisha uvunjifu wa amani,ni uchochezi
 
Back
Top Bottom