Front Page ya Gazeti la Uwazi

Front Page ya Gazeti la Uwazi

Wakatoliki waspoact kwa hili wamuache hata Ray atoe filamu yake ya Sister Mary.
 
Labda, ila ni ngumu kuamini. Hivi habari yake inasema nini? Ina uhusiano wowote na heading?
 
Na Mwandishi Wetu

Uwazi lipo kwenye nafasi nzuri ya kupasua jipu.
...........................................................................................
Hata hivyo, hivi karibuni, Uwazi lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa vigogo wa jeshi la polisi nchini,
...........................................................................................
"Labda mimi nipasue jipu kwamba jina la Pengo halionekani katika orodha ya viongozi wa dini wanaochunguzwa

Upumbavu ni Kipaji...!
 
Inapotokea mtoto kuchungilia chumbani kwa wazazi wake ni hapo tunapoona Shigongo anapojaribu kuchokoza viongozi wa dini wasiona hatia hizo anazoziandika. Amekosa maadili kwa wazazi wake huyu Shigongo
mmmh, ni vigumu sana kufikia conclusion za namna hii kwa kusoma title ya gazeti la uwazi. Usishangae ukifungua ndani ukaona wanamwongelea Pengo ambaye ni msukuma mkokoteni wa Morogoro. Ndiyo maana mimi huwa hata sichunguliii haya magazeti.
 
Magazeti ya UDAKU siku zote yanaongoza kwa mauzo.

Aise mkuu ZeMarcopolo Tanzania Daima huwezi kabisa linganisha na uongo na udaku na UHURU, Mzalendo, Habari Leo na Daily News. Hapa unachanganya ya yale ambayo ni ya private ambao wahariri na waandishi mlishawanunua!!! Ha ha!! Udaku utajuliana 2015! Return za yale ya chama ni balaa, hata wauzaji hawataki nuksi kabisa huwa hawaweki!! Kama ukoo Dar pita tu pale posta ujionee!! Unaweka na ya New Habari baada ya hayo ya kweni ni balaa kabisa.
 
anakoeleka kubaya
laana ya viongozi wa dini ni mbaya kuliko laana ya mzazi
mind you mtaona mwisho wa Shigongo na kampuni yake.kanisa
sidhani kama watakuwa na muda wa kuargue na wachumia tumbo kama hawa
sala zao zinatosha kutoa majibu

duu hii kali.
 
Wakatoliki na jamii ya Wakristu huwa ni watu wa amani. Ingekuwa ni wenzetu wameandikwa ungekuta Shigongo leo anachomewa nyumba. Katoliki ni dhehebu la viongozi wa wasomi wanaofuata kanunu na sheria za kanisa na za nchi husika.

Kiongozi wa hao wenzetu hawezi kuuza unga ila kwa viongozi kama hawa mbona kawaida?
 
Kiongozi wa hao wenzetu hawezi kuuza unga ila kwa viongozi kama hawa mbona kawaida?

Halafu hata majina ya wabebaji wanaokamatwa Airport na points zingine wanakuwa na asili gani eti? Kwa hakika dhehebu la Kikristo linatakiwa liheshimike sana Tanzania, limejaa maadili tele. Kwa misingi hiyo hakuna hata punje kuwa wanahusika na madawa. Hapa siwasemei wale wanaofungua vikundi vya makanisa kwa upako kutoka Nigeria, la hasa nsemea wale Wakatoliki, Walutherani, Anglicans na wale wote ambao wana imani za ukristu wao kwa madhehebu yao ya asili. Si tunajua kuwa kuna makundi wanafanya au kuanzisha makanisha kwa njia za kishetani? Hata maandiko yalisema, siku za mwisho watajitokeza manabii wa uongo,, na tunawaona wazi na biashara zao ndani ya makanisa yao.
 
hili gazeti linaelekea linazidi kukosa wasomaji sasa hivi linakuja na visa vya kutunga kwa kujua wakimuweka Pengo ukurasa wa mbele watu watanunua lakini nilishaacha kulisoma muda mrefu kwani nmilijua picha na habari waliyoweka havitaendana
 
Serikali inasubiri nini kulifungia kwa muda usiojulikana kwa kuandika mambo wasiyokuwa na uhakika nayo.Maana hii pia ni aina ya kutaka kusababisha uvunjifu wa amani,ni uchochezi

Shigongo ni mshikaji na mzee.....atalifungia vp?
 
Ila Shigongo ipo siku,na hizi njaa zake.atakula Kasa tu! Maana anapoelekea ata kama kutafuta pesa sasa ni too much
 
Kuna watu wana roho ngumu kushinda jiwe

nilichojifunza kwa magazeti habari za kweli ni chachesana ajali,kuapishwa,kuanguka jengo lkn zinazohusu mwanadamu uongo ni zaid ya nusu ni wewe tu na pesayako,unawapa waandishi wanamsema vibaya au chama au ofisiyako na hata ukitaka wakiseme vzur hatakama ni kibaya bac pesa inaongea,nanunua magazet machachesana hayo ya udaku hatamoja kichwa cha habar huwa kinanitosha.
 
ukisoma heading utaelewa moja kwa moja kuwa walitaka kuuza gazeti lao, kilichoandikwa ndani ni kuwa jina la askofu mkuu halopo katika orodha ya wauza dawa za kulevya
 
Kwa sababu hata mkuu wao mwenyewe kilaza hata waandishi wake vilaza....wametumwa wasen*e hawa wachaw kabisa ..wp mamlaka husika
 
kinachonishangaza utakuta wabongo wamepanga foleni wananunua hayo magazeti
 
Back
Top Bottom