Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,667
- 2,129
Ha haaa naona anamchezea jamaa akili hapa………...jamaa anatakiwa ajipange kabla hajapangwaKwani ilitegemewa awe na mwingine?
Ha haaa naona anamchezea jamaa akili hapa………...jamaa anatakiwa ajipange kabla hajapangwaKwani ilitegemewa awe na mwingine?
Hivi haijawahi kutokea ghafla ukaona kitu kikakukumbusha ni kwa jinsi gani unampenda mtu, au ukawaza kitu ukakumbuka ni kiasi gani mtu flani ni muhimu sana kwako ukajikuta unampigia simu au unamtumia msg kama hiyo? Huenda na yeye kuna jambo kafikiri ambalo uliwahi kumfanyia ndiyo maana kaandika hivyo.Je kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
Inatokea ila sio kwa text km hiyo mkuuHivi haijawahi kutokea ghafla ukaona kitu kikakukumbusha ni kwa jinsi gani unampenda mtu, au ukawaza kitu ukakumbuka ni kiasi gani mtu flani ni muhimu sana kwako ukajikuta unampigia simu au unamtumia msg kama hiyo? Huenda na yeye kuna jambo kafikiri ambalo uliwahi kumfanyia ndiyo maana kaandika hivyo.
Mimi uwa inanitokea sana naweza nikawa nimekaa nikakumbuka kitu ambacho mtu aliwahi kunifanyia nikagundua kilikuwa kikubwa sana nikajikuta namtumia msg au hata nampgiaInatokea ila sio kwa text km hiyo mkuu
Huyo amekosea kutuma hiyo meseji.Je kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
OYAAAAA😂😂😂Atakuwa ametoka kupigwa hii style pendwa ya kula wake za watu!😄😄😄
View attachment 1671061
You are lucky, she must have come across something very real kilichomfanya ajue thamani yakoJe kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
🤔🤔🤔... huyo atakuwa ndio ametoka ku.ko.j.o.l.wa muda sio mrefu. Wana akili za ajabu sometimes.
Na akija akimwangalia uson lazima akwepeshevumilia mkuu ndoa zina mambo mengi ila from experience mkeo katoka kuchakatwa
aseee. kwani yeye yuko wapi na wewe upo wapi mkuuJe kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
😁😁😁Wahuni wameshatoka kuchakata anapoteza maboya 😂
😂😂😂 huyu jamaa anaomba ushauri wa aina hii hapa anategemea nn zaidi ya comment za kumpa pressure tuKakaa wahi nyumbanii Kuna jambo....
Pole sana.Je kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text