Elevat Kapela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2017
- 630
- 1,837
Mmmmmh! Ubongo unagoma kuamini kama kuna usalama juu yako!
Katoka kukunwa, ila hajakunwa kisawasawa kama alivyodhania au alitaka kuchepuka ala akafumwa na mke mwenza, akaumbuuliwa, KWAHYO ANAJISIKIA VIBAYA, NA HATARUDIA HUYOOOOO.. we kuwa na amani hatachepuka wala kukudharau tena, kashakiona cha mtema kuni.Je kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
si ndo hapo, Hadi shetani anatushangaa muda mwingine loohyani watu bhana mtu ukipendwa Bado napo wajikunakuna! Mkuu tuliza figo zako hapo umependwa nawe pendeka mbute kabisa sasa.
vumilia mkuu ndoa zina mambo mengi ila from experience mkeo katoka kuchakatwaSasa itakua anatafuta nini? Nashindwa nijibu vipi
Kashaliwa huyo anajihami akuone kama hujahisi kituJe kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
Je kuna usalama kweli wakuu, niko mbali na mke wangu , then from nowhere kanitumia hoyo text
Ndiyo hapo sasa. Kama ni maziwa yao kutumiana sms za aina hii hakuna shida. Vinginevyo iko shida mahali.Kwani ilitegemewa awe na mwingine?