Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Ahhahhah lakini Madame si ungetulia tu jamani si uliamua kukubaliana na haliWe acha tu.
Nikwambie kitu Shu.
Unapopata mwanaume humu Jf, inabidi azoee nyendo zako na ile misemo ya humu.
Unajua tabia ni kama ngozi ya mwili...kuibadili huwezi