From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

😂😂😂vibaya hvo jaman nyie wanwake npendweje jaman..kweli nimeamini wasemayo hatujielew tunataka nn😎!nipe ruhusa nianze salam mara moja moja kwa ex😎pm
Ruksa bibi weeee
Utakuja nihadithia hapahapa.

Hv wachaga ndo wanawivu hivi?
Mie najua wachaga wanajua kutafuta pesa, wivu wawaachie wakinga
 
😂😂unadhan watu km madame hawapati watu wao ?huyu hajampata wa kufanana naye bado...
Mie kiukweli mwanaume ambae alikuwa ananikosha na ambae nilikuwa nimemuweka moyoni kiukweli ni mpenzi Ben Saanane.
Yaani mapenzi yalikuwa moto sana....
Kisha akaja mbabe Shark huyu nae alikuwa ananipatia sana....ila hawa wengine ni kama royco tu...hata ikikosekana kwenye mboga, mboga italika tu
 
Mie kiukweli mwanaume ambae alikuwa ananikosha na ambae nilikuwa nimemuweka moyoni kiukweli ni mpenzi Ben Saanane.
Yaani mapenzi yalikuwa moto sana....
Kisha akaja mbabe Shark huyu nae alikuwa ananipatia sana....ila hawa wengine ni kama royco tu...hata ikikosekana kwenye mboga, mboga italika tu
Ben kapotea rudi basi kwa shark hahaha hawa wengine wapoje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom