From Madame B to Mung Chris...

Hongera sana mdogowangu Madame B
Mung Chris ni kaka mzuri - VERIFIED!
Karibuni chamani wapendwa
Mniletee kadi Pm au whatsapp nitawachangia michango yote
Nikiwepo Tz nitahudhuria kama nitaalikwa!
I wish u all nothing but the best
LOVE IS A GOOD THING - Muhimu ni Kuvumiliana
PS:
Kitchen Party Kungwi nakuletea bure ukitaka!

Mmebakia Smart911 na wifi mahondaw nasubiri KADI ABI!?
Honey Njoo tuwachangie wapendwa wetu 50thebe
 
Asante sana Extrovert.
Usijali, tumeshajuana na tunafit kila mahala.
Kwahilo sitawaangusha watu wa humu.

Asante sana na hutasikia lolote baya toka kwetu.
Ntafurahi sana mambo yakiwa mazuri always. Nawaombea wepesi katika safari yenu zingatia sana kutumia neno samahani na asante katika siku zote za maisha yenu bila kusahau kuwa na moyo wa subira na uvumilivu katika nyakati zote.
 
Ntafurahi sana mambo yakiwa mazuri always. Nawaombea wepesi katika safari yenu zingatia sana kutumia neno samahani na asante katika siku zote za maisha yenu bila kusahau kuwa na moyo wa subira na uvumilivu katika nyakati zote.
Usijali.
Mambo yataenda mazuri na wala hutasikia lolote baya na la kukweza juu yetu.

Asante tena na tena.
Naahidi kutimiza yote uliyosema.
 
Hahahahah
Usijali mwayaaaaa Money Penny....hapa penzi ni miaka laki na usheee.
Hakuna wa kututenganisha katu.
Na hatotokea nakuapia kwa hilo.

Kadi tutakupa, muhimu afya na uzima uwepo.
Asante kwa kutukaribisha chamani.
Hatutawaangushaaa
 
Sasa kwakua umepata kiboko yako haunifundishi tena ile kitu nami nimnogeshe shemeji ako?
 
Sasa kwakua umepata kiboko yako haunifundishi tena ile kitu nami nimnogeshe shemeji ako?
Hahahhhahah
Huyu hatumii.
Naweza kukupa tekniki kumbe ajae hataki.

Ila nitakuja kukufundisha kwa ajili ya akiba ya yeyote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…