From Dodoma: CAG Press Conference ya Ripoti ya Ukaguzi (Audit Report)

CAG ameishauri serikali kubadili mfumo wa ajira kwa kuachana na Permanent Pensionable into Contracts, ili kama mtu akishindwa kuperform, anakwenda na maji, lakini hali ilivyo sasa, hata ukiboronga vipi, unaishia kuhamishwa tuu.

Hili pendekezo ni zuri nalisapoti....itasaidia sana kumaliza madudu yanayoendelea sasa tena kwa kiwango cha kuudhi mno..
 
Mode naomba fanya merekebisho stahiki kwenye headline.
1. Sio breaking news tena.
2. Sio live from Dodoma.
 
CAG ameishauri serikali kubadili mfumo wa ajira kwa kuachana na Permanent Pensionable into Contracts, ili kama mtu akishindwa kuperform, anakwenda na maji, lakini hali ilivyo sasa, hata ukiboronga vipi, unaishia kuhamishwa tuu.

Huo ni uzembe tu hata kama uko permanent unaweza kufukuzwa kwa madudu uliyofanya sema culture ya kulindana ndio mbaya watu wanaoneana haya kufukuzana kitu ambacho kwenye nchi zilizoendelea hakipo. On top of that huwezi kufanya kazi zote kwa contracts we should be more careful when moving in this direction because if you compare contracts work the pay is almost five times more per year.

BTW hivi CAG hii ni moja ya kazi zao kushauri modus operandi ya ufanyaji kazi?
 
Salaam,

CAG, Ludovick Utouh, amefanya Press Conference hapa Bungeni Dodoma kuwasilisha Ripoti ya Ukaguzi.

Ripoti Zenyewe ni hizi.
Naendelezea hapahapa~~chochote chenye public interest kina mawazo na maamuzi yanayotoka kwa watu kwa ajili ya watu,mwenyekiti wa ccm ndiye anejigeuza kuwa mwenyekiti wa Tanzania,yeye ndiye anayeamua nini kiwe for public interest na kipi kisiwe,alipomtimua mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali baada ya mkaguzi huyo kusimamia public interest wewe Pascal Mayalla hukumgombeza magufuli au kumkumbusha kuwa pesa iliyopotea ni ya umma,na mkaguzi ndiye jicho la umma,unamshangilia mwizi halafu unaongea habari za public interest,fool
Mkuu Capt Tamar ,
Asante,
Ubarikiwe
Japo sina uhakika, kwavile siwezi kusoma mabandiko ya watu wote humu, lakini humu JF, mimi ni miongoni mwa tuliomuongelea sana CAG, Ofisi ya CAG na Ripoti za CAG!.
Nakutakia Jumapili Njema
P
 
Back
Top Bottom