Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,287
- 483
Hallo Wajameni. Kama kuna Mtu alinunua hiyo router hapo Juu kutoka Smile na Akaamua kuitupa Darini.
Naomba kumpatia taarifa kuwa, kama bado iko kwenye Hali Nzuri, nnaihitaji hiyo Router kwa Kiasi cha Tsh100,000/- Cash.
Tafadhali kama unayo, Ni-PM.
Thanks,
Nnawakilisha kwenu wadau.
Naomba kumpatia taarifa kuwa, kama bado iko kwenye Hali Nzuri, nnaihitaji hiyo Router kwa Kiasi cha Tsh100,000/- Cash.
Tafadhali kama unayo, Ni-PM.
Thanks,
Nnawakilisha kwenu wadau.