Safi sana, kazi nzuri nimeipitia, ila mnatakiwa kufanya marekibisho madogomadogo, mfano kuna baadhi ya link hazifunguki mfano mzuri ulionikumba mimi binafsi ni kwenye home page sehemu ya welcome nadhani kuna link ya "meet new people" lakini haifungui, pia kitu kingine fanyeni haraka kuleta mobile version kwa sababu mambo ya kuperuzi kwa sasa asilimia kubwa yamehamia kwenye simu