toghocho
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 1,172
- 198
Habari za leo wadau.
Mimi ni mwanaume umri miaka 23-25, natafuta mwanamke (binti) miaka 22-25, wa kuwa nae kama rafiki wa kubadilishana mawazo, na kuwa nae katika mahusiano yasiyo rasmi (friends with benefits) awe na sifa zifuatazo.
1. Awe ni mtu anayejiheshimu.
2. Mzuri ( as opposed to mrembo).
3. Mrefu kiasi (mi ni mrefu pia).
4.Awe matured (tomato means tomato, not an apple).
5. Lengo lake kubwa iwe ni kuendelea na mambo yake huku akiwa na a good friend na kuepuka sleeping around.
6. Awe na mishe zake serious (kazi etc).
7. Awe single (I do not sleep with married women).
8. Awe na uelewa mkubwa wa mambo (quick understanding).
Kwa yeyote aliye interested ani pm, all pms will be replied as soon as am online, the same applies to questions on the thread itself.
NB akipata mchumba tukiwa katika hiyo friendship contract ataruhusiwa kuolewa.
Asanteni.
Mimi ni mwanaume umri miaka 23-25, natafuta mwanamke (binti) miaka 22-25, wa kuwa nae kama rafiki wa kubadilishana mawazo, na kuwa nae katika mahusiano yasiyo rasmi (friends with benefits) awe na sifa zifuatazo.
1. Awe ni mtu anayejiheshimu.
2. Mzuri ( as opposed to mrembo).
3. Mrefu kiasi (mi ni mrefu pia).
4.Awe matured (tomato means tomato, not an apple).
5. Lengo lake kubwa iwe ni kuendelea na mambo yake huku akiwa na a good friend na kuepuka sleeping around.
6. Awe na mishe zake serious (kazi etc).
7. Awe single (I do not sleep with married women).
8. Awe na uelewa mkubwa wa mambo (quick understanding).
Kwa yeyote aliye interested ani pm, all pms will be replied as soon as am online, the same applies to questions on the thread itself.
NB akipata mchumba tukiwa katika hiyo friendship contract ataruhusiwa kuolewa.
Asanteni.