Friend's With benefit

Friend's With benefit

Tatizo ni nini? Ukisikia nyege unamtafuta anakupa kummer ukitoka hapo mwepesiiiii.

Wakuu kuna dada nilikua natoka nae sasa leo kaniambia eti anaomba tubaki marafiki tu! wa kawaida eti kama nitakua namuhitaji atakua anakuja tupige mambo.
Hii imekaa vipi kuna mtu ilishawai mtokea embu tupeane kidogo mawazo.
 
Kama kwenye mpira hiyo ina maana umeshushwa daraja.
Amekuangalia na ameona kabisa unachohitaji ni ngono tu hivyo ameamua kwa makusudi kukuachia ngono na wewe umuachie maisha yake.
Cha kufanya; na wewe mwambie basi muishie hapo.
 
Wakuu kuna dada nilikua natoka nae sasa leo kaniambia eti anaomba tubaki marafiki tu! wa kawaida eti kama nitakua namuhitaji atakua anakuja tupige mambo.
Hii imekaa vipi kuna mtu ilishawai mtokea embu tupeane kidogo mawazo.
Jiandae kuletewa kadi ya mchango wa Kitchen party na baadaye ya Send off.
 
Ni kweli mkuu mahusiano yakichukua muda mrefu sana bila kuwa na dalili ya kuja kuwa mume na mke,lazima mambo ya namna hiyo yatokee.....anataka na yeye aitwe mke.Sasa wewe ndio wa kumbadilisha kama unamuhitaji kuwa mke.
Ngoja nimwache aende tu mkuu sababu simuhitaji kivile
 
Itakuwa huna pesa lakini unajua kufcuk
Jamaa aliyempata anazo pesa ila hajui kufcuk

So anachofanya ni kuhakikisha anatumia available resources effectively...yaani pesa anapata kwa jamaa mwingine halafu masuala yake ya genye unamaliza wewe
Hapa umenifungua kichwa ngoja nimwache aende atanisumbua huyu
 
Kama kwenye mpira hiyo ina maana umeshushwa daraja.
Amekuangalia na ameona kabisa unachohitaji ni ngono tu hivyo ameamua kwa makusudi kukuachia ngono na wewe umuachie maisha yake.
Cha kufanya; na wewe mwambie basi muishie hapo.
Na mimi nimewaza sana namwambia basi hakuna tena mapenzi hapa
 
Fact!..
Itakuwa huna pesa lakini unajua kufcuk
Jamaa aliyempata anazo pesa ila hajui kufcuk

So anachofanya ni kuhakikisha anatumia available resources effectively...yaani pesa anapata kwa jamaa mwingine halafu masuala yake ya genye unamaliza wewe
 
Usisahau unayemwamini ndo anayekupa ngoma. Kuwa makini sana na hawa viumbe wanaopenda ngono sana na pesa sana.
 
Achana nae tafuta pesa, watakuja wengine.
Huyo amepata mwenye pesa ndo maana amekuona huna cha ziada kwake
 
Back
Top Bottom