Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Jambo kubwa linalompa Lowasa Marafiki wengi na kungwa mkono pamoja na umaarufu wa kisiasa anaopata sasa na kuzidi pia kuumiza vichwa vya wanasiasa wengi ikiwamo wa chama chake CCM,ni technique ndogo tu aliiyoitumia. .
kuna msemo unasema " ili kushinda vita ,lazima umjue adui yako vyema"
Lowasa kaangalia ni yapi hasa matatizo ya watanzania walio wengi.
1.Watanzania wamekosa viongozi wanokaa karibu nao na kuongea kuhusu matatizo yao moja kwa moja.
2.Na pia ni jinsi gani CCM vyama vingine imeashindwa kutatua matatizo ya watanzania .
Lowasa kaamua kujiingiza direct na kujifanya ni kati wa wananchi wenye Matatizo bila kubagua wala kujotenga .
Lowasa kawafanya wanasiasa wengeni kuonekana si watendaji bali ni wapenda madaraka na wengine kuonekana wakiwa na ahadi zisizotimizika .
Lowasa kaonekana ni mtu aliyeona shida za wananchi na kuonuesha nia ya kuwasaidia kwa chochote alicho nacho .. hata kama kuna uchu wa madaraka ndani yake ..lakini amejitahidi kutumia mbinu kushinda maadui zake ..
Leo hii wote wanaomsupport Lowassa yaani "Friends of E.Lowasa" ni kwa ajili ya kijiridhisha na madogo aliyoyafanya.
Kunyamaza kwa Lowasa kuna zidi kuwaumiza kichwa wana CCM ..
Wengi tuaasema Lowassa anatumia pessa za ufisadi kujisafisha,lakini ni afadhali yeye aliyeona aibu na kidhubuthu kurudisha pessa hiyo kwa njia ya siasa pamoja na kujisafiaha ,kuliko mlio wengi ambao walikula ,wanakula na wataendelea kula peasa na kodi za wananchi maskini na familia zao pasipo hata kurudisha mrejesho wa 10°/ kwa wananchi na mmebaki kua wachafu.
kuna msemo unasema " ili kushinda vita ,lazima umjue adui yako vyema"
Lowasa kaangalia ni yapi hasa matatizo ya watanzania walio wengi.
1.Watanzania wamekosa viongozi wanokaa karibu nao na kuongea kuhusu matatizo yao moja kwa moja.
2.Na pia ni jinsi gani CCM vyama vingine imeashindwa kutatua matatizo ya watanzania .
Lowasa kaamua kujiingiza direct na kujifanya ni kati wa wananchi wenye Matatizo bila kubagua wala kujotenga .
Lowasa kawafanya wanasiasa wengeni kuonekana si watendaji bali ni wapenda madaraka na wengine kuonekana wakiwa na ahadi zisizotimizika .
Lowasa kaonekana ni mtu aliyeona shida za wananchi na kuonuesha nia ya kuwasaidia kwa chochote alicho nacho .. hata kama kuna uchu wa madaraka ndani yake ..lakini amejitahidi kutumia mbinu kushinda maadui zake ..
Leo hii wote wanaomsupport Lowassa yaani "Friends of E.Lowasa" ni kwa ajili ya kijiridhisha na madogo aliyoyafanya.
Kunyamaza kwa Lowasa kuna zidi kuwaumiza kichwa wana CCM ..
Wengi tuaasema Lowassa anatumia pessa za ufisadi kujisafisha,lakini ni afadhali yeye aliyeona aibu na kidhubuthu kurudisha pessa hiyo kwa njia ya siasa pamoja na kujisafiaha ,kuliko mlio wengi ambao walikula ,wanakula na wataendelea kula peasa na kodi za wananchi maskini na familia zao pasipo hata kurudisha mrejesho wa 10°/ kwa wananchi na mmebaki kua wachafu.