Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ndio maana vyombo vya habari vya Ungereza vinamwagia petroli kwene hii songombingo. Ingekuwa timu yao inafanya vizuri walahi tusingelala.na hata hiyo kuingia yenyewe walibebwa, si unakumbuka lile goli (henry's hand ball) lililowaingiza, against ROI ? acha wafungishwe virago tu.