Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
- Thread starter
- #41
Kama Kinywa si safi unamwambia ukweli Annina kwamba kinywa chako kinaleta...hivyo apige deki kinywa kiwe bomba. Kuna wengine hiyo french kiss ikiwa kavu kavu hata hawaigusi sana wanataka iwe Wet French Kiss ndiyo mahanjam yanawapanda vibaya sana. Sasa hili la wet au dry french kiss linategemea mtu na mtu.
Umesema sawa kabisa, tatizo langu ni ile papara! Mtu anaona kama anachelewa anakotaka kwenda...so wet french kiss inabadilika na inakuwa ni zoezi la umwagaji mate ili awahi anapopataka - jamani!
Kuhusu kinywa sijui watu wanaogopana au vipi, kuna kaka tunaheshimiana sana na ana mke lakini akifungua mdomo ni hatari... sasa nimegundua huwa natembea na 'jojo' nikiwa nae jirani nachukua moja na nampa na yeye pia angalau amani inapatikana...
Annina