Sawa mkuu nanyamaza kwa heshima yako.Mkuu kama hujui sehemu nyamaza, utachekwa.. Unajifanya unajua maeneo kumbe hujui, wanajua wanapajua,,
Sawa mkuu nanyamaza kwa heshima yako.
Labda itoshe kukupa taarifa tu, nimeishi mwenge-mlalakuwa, sinza, kijitonyama (mabatini) miaka kumi na zaidi. Hiyo njia ya Afrikasana kuja Mwenge-sokoni nimeitumia kupita maelezo. Jogging za asubuhi kwa miaka 5 mfululizo hiyo ilikuwa ni njia yangu nakuja kutokea hapo uwanjani nyuma ya vinyago kwa ajili ya stretching. Nimefanya utafiti unaohusiana na mipango miji eneo linaloitwa "mwenge kijijini" (unalijua?). Labda uongelee sehemu nyingine mkuu.
Ilikuwa rahisi na bora zaidi kwa wewe kuweka picha mkuu. Ungeweza hata kuweka location (waweza kutumia googlemap, just 'screen shot').OK mkuu hatuna haja ya kubishana.. Ila labda uelewe sehemu yenyewe.. Ni opozt na magorofa ya jeshi near TRA, mimi sio tu Kufanya mazoezi hapa nimezaliwa na kuishi hapa miaka 30 iliyopita.. So huku sio kule mitaa ya afrika sana, hii sehemu sijaona ikiwa maji labda kama huko miaka ya 60 kama umezaliwa huko.. Ila hata Ile mvua ya juzi haijaharibu hapa hata hivyo only serious people ndo hua wanaulizia vitu vya msingi sio kuponda na namba ipo.. Hua nashangaa kuna umuhimu gani wa kucomment kitu kwa kukiponda kama haupo interested?