FREM INAPANGISHWA

FREM INAPANGISHWA

MG255

Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
14
Reaction score
3
Ipo Kinondoni barabara ya kutoka posta kwenda makumbusho.

Ni ya nne kutoka barabara kuu ( barabara ya mwendo kasi) upande wa kushoto ukitokea makumbusho.

Ni kubwa ndani na inafasi ya kutosha kwa nje kwaajili ya gari zitakazo ingia kuleta mizigo pamoja na parking .

Kodi ni Tsh 200,000/= kwa mwezi na unaweza lipia miezi nne kwanza ( kama utapenda kulipa zaidi ya hio pia unaruhusiwa )

Kwa mawasiliano piga au tuma ujumbe mfupi (SMS) kwa namba:-

+255 653 231 798
+255 744 601 144
 
Back
Top Bottom