Tupo kanisanimbona hii thread haina wachangiaji?
sasa mbona upo JF kama upo kanisani?Tupo kanisani
mbona hii thread haina wachangiaji?[/QUOTE
Hilo Carpet ni zuri hadi raha. kweli hiyo ni nyumba ya masons.mbona hii thread haina wachangiaji?
Ngumu sana, nadhani hata hilo wazo la kushinda na nae hawana kabisa.Rose Mhando, Florah Mbasha, Paul Makonda, Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba ndio walokole wetu wa Leo. Mchungaji wetu ni Antony Lusekelo a.k.a BOB LUSE, je shetani tutamshinda kweli?
Tatizo ulichoaminishwa sio uhalisia wenyewe.Mbona wakati ana Kula kiapo amesema mungu amsaidie au c mungu huyu.
Sori nimechelewa kuniambia hiki, Mungu ni cheo wala si jina. Kila ana chake cha kukopa hiki cheo cha uungu.Mbona wakati ana Kula kiapo amesema mungu amsaidie au c mungu huyu.