tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,399
- 4,732
Mnachukua kazi za watu na kuzibinafsisha kama mmepiga picha nyie. Heshimuni kazi za watu.
Rose Mhando, Florah Mbasha, Paul Makonda, Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba ndio walokole wetu wa Leo. Mchungaji wetu ni Antony Lusekelo a.k.a BOB LUSE, je shetani tutamshinda kweli?
