Bundala,
Hawa wajamaa kwa sababu walilenga kushika uchumi wa dunia walitengeneza vita vya kwanza vya dunia na vya pili ( wanaconsider war as the good business ) wakiwatumia RothChilds wayahudi waliokulia ujerumani na ambao hadi sasa ndio wanashikilia mifumo karibia yote ya kifedha duniani . Na katika kutekeleza mkakati wa New World Order ambayo ni mfumo shetani ambao ni full ant Christ ndo tunakutana na mambo kama utoaji mimba,ndoa za jinsia moja,wachungaji wanawake n.k Hivyo elimu juu ya hizi jamii za siri ni muhimu ili tuweze kujua mbinu chafu za shetani kutawala dunia.
Una ushahidi kutetea unachosema? Ama ndio tetesi zilezile za siku zote?
Kama freemasons ni secret society mwafahamu vipi falsafa, malengo na utendaji kazi wake?