LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
huo ni ukweli mchungu......
Ahsante boss,kwema niliko..mzima ww?karibu sana jf mkuu , habari za geita ?
Akili za watu kama nyie ni bora kufuga mbuzi utamla supu siku ikifika kuliko kukufuga mtu wa aina yako.MBOWE chutama ndugu usije kuaibika mbele za wakwe.
Zile Bilion7 ulipoenda kuzichimbia na Joyce Mukya zinakulilia. Ulichowafanyia Wapinzani na Wanademokrasia wa kweli hakitakuacha salama. Karma is a Bish. Fanya Sala ya TOBA MBOWE.
Chama kinakupasukia mikononi kwako. Hata mkweo Mzee Mtei amekaa kimya pembeni anaangalia jinsi ulivyopuuza ushauri wake na mambo yanavyokunjuka muda huu.
Tuliza mshono basiRubish stories from chakaza! Mkiwa na bando msifunge macho Mkiwa mnaandika!.mahawara wanajuana.
CCM mmepanic mna hasira hadi kipaumbele cha serikali kimekuwa ni kuandaa uchaguzi mdogo kila baada ya week moja muda huo deni la taifa limekuwa kutoka trillion 38 hadi trillion 60 kwa muda mfupi tu wa awamu ya 5.Aaa.. Wapi!!! chama ulikiuza mwenyewe kwa mzee Lowassa kwa 7B taslimu na fedha umeenda kuzichimbia Dubai.
Bila hata ya kulipa angalao kodi.
Hao ndio wana lumumba kwao Mbowe wanamuogopa kama TrumpAkili za watu kama nyie ni bora kufuga mbuzi utamla supu siku ikifika kuliko kukufuga mtu wa aina yako.
Ataendelea kuwepo cdm hadi msande magambaMbowe akiondoka ndio chadema itakuwa kwa hisani ya Vijana wa ccm!
KARIBU JFChadema ikifa mbona kwenu raha,mnataka aachie uenyekiti ili Chama kiendelee kukua?. Nafikiri waitara angeipeleka Chadema next level......
Kweli kabisa kutoka wabunge 5 mpaka zaidi ya wabunge75 wakuchaguliwa chini ya utawala wake atakuwa anakwamisha upinzani,kwamaana CCM ni chama tawala lakini ni chama pinzani kwa vyama ambavyohaviko madarakani.Mbowe ni mkwamishaji wa upinzani wa ukweli nchini,
Asante!
Hapo hapo ccm inapambana kubakia madarakani kwa kuhonga na kununua wapinzani na kuiba kura ili iendelee kutawala milele huku ikiwatumia police kwa maslahi yao binafsi huku siasa za majukwaa zikipigwa marufuku kwa upinzani
Hili wewe ni muumini mzuri sana na huoni tabu yoyote
E&K
Mbowe anasubiri kuona nini ili aamini chamakimekufa?