Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,317
Kwi! Kwi! Kwi! sasa mbona huo ushahidi hujaweka bibie ?Wewe ni mmoja katika mashangingi ambao nimewaweka kwenye Spam List humu JF. Fuatilia huwa ukininukuu huwa nakaa kimya. Sababu ni kwamba upeo wako ni mdogo sanaaaaa na umejaa ushakunaku mahaba. Hiyo inakuondolea umakini wa kujadili na kupambanua mambo ya msingi.
Leo ni Jumapili ndio maana nimejibu huu upupu wako.