imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,035
Sasa umekosa sehemu ya kuwangia.
Sasa umekosa sehemu ya kuwangia.
Kwamba mie nmetajirika kupitia uchimbaji wa madini na wewe uanze kuchimba madini utatajirika??? Ndo unanipinga???Umeanza na uongo wa aya ya pili, eti kwenye maisha haitakiwi kuiga njia za mafanikio ya nwenzako. Hapo tu nikakuona kuwa huna unalolijua.
Kuna vyama vingapi vya upinzani nchini Tanzania?Kati ya hivyo ni vingapi vyenye wabunge?Kwanini ni vyama vitatu tu ndiyo vyenye wabunge?Kwanini chadema kinawabunge wengi?Sasa mbowe anakwamisha vipi upinzani wa kweli?Kwani Mbowe ndiyo mwenyekiti wa vyama vyote?Ni dhahiri wewe ni shabiki wa ccm na si mchambuzi,maana uchambuzi ni kazi ngumu kuliko ushabiki.Mbowe ni mkwamishaji wa upinzani wa ukweli nchini,
Kama una hakika wa uachosema, ni kwanini basi hamumburuzi kule kwenye Mahakama ya mafisadi??Aaa.. Wapi!!! chama ulikiuza mwenyewe kwa mzee Lowassa kwa 7B taslimu na fedha umeenda kuzichimbia Dubai.
Bila hata ya kulipa angalao kodi.
Mfa maji haachi kutapa tapa badala ya kutafuta solution chama kinaangamia anaanza kuilaum CUF.Huyu jamaa nlikua namuona ni mtu hodari kwa hoja kumbe ana akili kisoda sana
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Wanaotaka kukiangamiza chama hawana mbinu wanategemea polisi na kodi za wananchi kufanya biashara ya kununua binadamu
Comment yako ni ya kishamba,unafikiri chama kampuni Md.yeyote anaweza kupewa na kuongoza ehee! Vijana aina ya kitila na waitara ndio ulitaka wapewe uchairman. Poor thinking!Honorable Mbowe the problem is within Chadema leadership ! Kubali hili na kuchukua hatua before it is too late ! Watanzania wengi bado wanaikubali Chadema na hasa vijana kama a challenger to CCM, sasa hii hali ya kutokubali kubadilika na hasa kuleta sura mpya uongozi wa juu slowly but steadly is erroding members loyalty to this biggest opposition party.
Wanaohama chadema sasa wanavurumisha mawe walikotoka na mbaya zaidi wanatoa siri za kimkakati za chama chenu kwenda waliko hamia ! This will harm the party ! No need to cling to power because no one is indispensable in such a big organisation, it can survise even without Mbowe and Mashingi ! Tambua hili na muache kulia lia, chukua hatua before the party completely collapses.
Mkuu jamaa hakulipa kodi kwa mujibu wa sheria! Watu wa ushuru wakimtia mkononi wakampeleka mahakamani akahukumiwa si itakuwa mwisho wa siasa? Kumbe nchi hii watu anajipatia vipato lakini hawalipi kodi!Aaa.. Wapi!!! chama ulikiuza mwenyewe kwa mzee Lowassa kwa 7B taslimu na fedha umeenda kuzichimbia Dubai.
Bila hata ya kulipa angalao kodi.
Kama pesa inalia vipi kilio cha damu ya alfonce mwanzo inavyowalilia juu ya vichwa vyenu ccm.DHAMBI NI DENI LAZIMA MPELEKE HESABU YA DAMU ZA WATU MBELE ZA MUNGU.MBOWE chutama ndugu usije kuaibika mbele za wakwe.
Zile Bilion7 ulipoenda kuzichimbia na Joyce Mukya zinakulilia. Ulichowafanyia Wapinzani na Wanademokrasia wa kweli hakitakuacha salama. Karma is a Bish. Fanya Sala ya TOBA MBOWE.
Chama kinakupasukia mikononi kwako. Hata mkweo Mzee Mtei amekaa kimya pembeni anaangalia jinsi ulivyopuuza ushauri wake na mambo yanavyokunjuka muda huu.
Wazikague akaunti zake waone huyu jamaa anavyokwepa na kuiba ruzuku.Mkuu jamaa hakulipa kodi kwa mujibu wa sheria! Watu wa ushuru wakimtia mkononi wakampeleka mahakamani akahukumiwa si itakuwa mwisho wa siasa? Kumbe nchi hii watu anajipatia vipato lakini hawalipi kodi!
Stroke katika ubora wako!Wengine woote ni mapandikizi isipokuwa yeye..
Tukiwaambia hii ni saccos hamtaki kuamini..
Rubish comment as usual!Wazikague akaunti zake waone huyu jamaa anavyokwepa na kuiba ruzuku.
Time will tell ! Poor thinking or not.Comment yako ni ya kishamba,unafikiri chama kampuni Md.yeyote anaweza kupewa na kuongoza ehee! Vijana aina ya kitila na waitara ndio ulitaka wapewe uchairman. Poor thinking!
Mwenyekiti wenu ana zaidi ya akaunti hamsini zote hizo za nini?!R
Rubish comment as usual!