mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
Tunawaonea huruma tu cdm Basi kuongozwa na ze mburula sio vingenevyo, tunataka kupambana na mtu mwenye uwezo utakaotufikirisha na sisi ili tupate changamoto mpya, na mjue tunatoa ela za walipa kodi kuendesha hiko chama chenu
Sio rahisi Kamanda mbowe ni habari nyingine mbona mnahangaika eti ajiuzulu kwanini msimwache apotee kama huyo mrema wa Tlpccm