Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiwa Viongozi waandamizi wa Chadema pamoja na wabunge leo akiwa kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani Kata ya Saranga! Muda amesema kuwa kwa sasa Raisi aliyepo madarakani John Pombe Magufuli anaongoza nchi kidikteta ndo maana amezuia mikutano ya vyama vya siasa ambayo ipo kisheria...
Freeman Mbowe: 2020 Magufuli atakuwa Rais wa kwanza kuongoza kwa miaka mitano,hatutaogopa risasi wala mabomu:
Freeman Mbowe: Rais anataka watu waishi kama mashetani,Rais wa ajabu huyu anawaombea mabalaa watu wake:
Freeman Mbowe: Miaka kumi ya Kikwete ilikuwa nafuu na maisha yalikuwa mazuri kuliko miaka miwili ya Rais Magufuli,Heri ya kikwete mara mia:
Freeman Mbowe: Hatuwezi kukubali kuwa na Rais anayenuna wakati wote,tunamwambia legeza ulimi,ongea maneno matamu hataki:
Freeman Mbowe: Kimara mmebomolewa Nyumba kwa sababu hamkumchagua Magufuli,ameenda Mwanza amepiga marufuku bomoabomoa,akili kichwani mwenu wana Kimara
Mkutano huo upo live kupitia link hii
Freeman Mbowe: 2020 Magufuli atakuwa Rais wa kwanza kuongoza kwa miaka mitano,hatutaogopa risasi wala mabomu:
Freeman Mbowe: Rais anataka watu waishi kama mashetani,Rais wa ajabu huyu anawaombea mabalaa watu wake:
Freeman Mbowe: Miaka kumi ya Kikwete ilikuwa nafuu na maisha yalikuwa mazuri kuliko miaka miwili ya Rais Magufuli,Heri ya kikwete mara mia:
Freeman Mbowe: Hatuwezi kukubali kuwa na Rais anayenuna wakati wote,tunamwambia legeza ulimi,ongea maneno matamu hataki:
Freeman Mbowe: Kimara mmebomolewa Nyumba kwa sababu hamkumchagua Magufuli,ameenda Mwanza amepiga marufuku bomoabomoa,akili kichwani mwenu wana Kimara
Mkutano huo upo live kupitia link hii