Freeman Mbowe njiani kuelekea Uwanja wa Taifa

Freeman Mbowe njiani kuelekea Uwanja wa Taifa

Unazungumzia zile sherehe za mbio za kibatari cha magamba? Then mnakesha mkifanya ngono zembe na kujaza wasichana wa shule za msingi mimba? Hizo chadema na mh.mbowe hawawezi kuhudhuria hata kidogo.

Kwe kwe kwe kweeeee
 
huu ushabiki jamani give us a solution coz ni sawa magamba yameshindwa kuongoza so what we can do?maana mnaongea wenzenu wanadunda tu kila mwez handsome anachukuwa zake 26m na Boss wake 32m
 
attachment.php
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe muda mfupi ujao ataingia uwanja wa Taifa kuhudhuria mechi ya Simba na Yanga.
  • Bado sijajua atashangilia upande wa rangi ipi?,
1.png
​
 
Faida Siioni maana kila sherehe hutumika mamilioni ya hela wakati dawa Hakuna hospital, wagonjwa wanakula chini
  • ​..................Pia mashuleni hakuna vitendea kazi, Walimu hali mbaya........
 
Back
Top Bottom