KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Mtoa mada ana hoja ya msingi ....Lakinimuda utafika nalo litapita ......sisi nimfano wa kuigwa katika demokrasia na uongozi wa kutukuka.....kwa hiyo tupunguze hofu.....na tukumbuke siasa ni sayansi
Ninaandika hapa jamvini nikiwa na mawazo lukuki juu ya mustakabali wa cdm endapo kamanda Mbowe ataamua kutogombea tena Nafasi ya uenyekiti wa chama taifa.Hakuna mwana jamvi asiyeelewa ni kwa jinsi gani kamanda na mpiganaji Mbowe amekikbeba chama hiki na kufikia hapa kilipo na kutishia kabisa mustakabali wa ccm.Juhudi, maarifa, kujituma, uthubutu na uzalenda wa kamanda huyu umeweza kuijenga cdm ambayo kwa sasa ni tumaini jipya kwa watanzania.Wengi wetu tunatambua kwamba mwaka 2013 kwa mujibu wa katiba ya chama ni mwaka ambao chama kitaenda kuchagua mwenyekiti mpya wa chama taifa. Mpaka sasa cjaona ni nani ambaye anaweza kurithi nyayo za kamanda huyu siye tetereka na mwenye uthubutu wa hali ya juu.Ni wengi sana wanaoutamani uenyekiti wa chama taifa na wengi wao wakiwa ni wale walio kwenye pay roll ya chama cha mapinduzi, nia na madhumuni yao yakiwa ni kukidhohofisha chama na kuacha upenyo kwa ccm kuendelea kushika atamu.Ninaomba ikiwezekana wale walio na nia njema na cdm pamoja na taifa kwa ujumla tumuombe kamanda Mbowe ifikapo 2013 agombee tena uenyekiti ili cdm iendelee kung'ara kuiondoa ccm madarakani.Nimejaribu kupitia katiba ya chama na cjaona limitation ya muda wa kuwa mwenyekiti.Hofu na mashaka ni kwa nafasi ya uenyekiti kutwaliwa na virus kama Zitto ambao tunajua wapo kwenye pay roll ya ccm.
Waroho wa madaraka wanajivika mwamvuli wa democrasia ili kutimiza malengo yao, Jamani mbowe kaongoza vipindi viwili tu na ametuongoza vzr sana, Hatuna sababu ya kufanya trial and error 2013, kwa kufanya hivyo mjue kuna hatari kubwa ya kushindwa kuchua nchi 2015 na kupeleka safari ndefu tena ya kuujenga upinzani imara.
km kweli CDM wanataka kuendelea kuwa mfano wa kuigwa wa demokrasia hakika watajipanga vyema kumpata mrithi wa Mbowe!napendendekeza asiwe wa kanda ya kaskazini na awe muislamu,toka CDM ianzishwe hakuna muislam aliyeongoza,kwa kufanya hvyo itaondoa maneno ya udini,ukanda na ukabila ndani ya chama
Deal kuliko richmond,iptl,net group solution,rites,ticts,buzwagi,epa,kagoda,kilimo kwanza etc?kwa taarifa mbowe ataendelea kuwa mkiti mpaka ccm itakapoondoka madarakaniNyie mpeni tena uwenyekiti aendelee kuwauzia magari mabovu.Kweli CHADEMA ni chama cha watu wa dili
Mkuu Tafadhali! Naomba nikupinge sana on the highlighted above. Tukitafuta viongozi kwa mujibu wa dini au kabila tutaishia kuongozwa na viongozi wabovu maisha yetu yote. Dini wala kabila isiwe kigezo cha kupata kiongozi, hilo liweke akilini ni muhimu sana. Uangaliwe uwezo wa anayetaka uongozi si kabila lake wala dini yake. Hata CHADEMA ikiendelea kuongozwa na wenyeviti wakristo wachagga, kama wana vigezo na uwezo wa kiuongozi mm hilo halinipi tabu.km kweli CDM wanataka kuendelea kuwa mfano wa kuigwa wa demokrasia hakika watajipanga vyema kumpata mrithi wa Mbowe!napendendekeza asiwe wa kanda ya kaskazini na awe muislamu,toka CDM ianzishwe hakuna muislam aliyeongoza,kwa kufanya hvyo itaondoa maneno ya udini,ukanda na ukabila ndani ya chama
Mkuu Tafadhali! Naomba nikupinge sana on the highlighted above. Tukitafuta viongozi kwa mujibu wa dini au kabila tutaishia kuongozwa na viongozi wabovu maisha yetu yote. Dini wala kabila isiwe kigezo cha kupata kiongozi, hilo liweke akilini ni muhimu sana. Uangaliwe uwezo wa anayetaka uongozi si kabila lake wala dini yake. Hata CHADEMA ikiendelea kuongozwa na wenyeviti wakristo wachagga, kama wana vigezo na uwezo wa kiuongozi mm hilo halinipi tabu.
Hapana labda hujanielewa mkuu, nimesema kabila na dini isiwe kigezo cha kupata kiongozi, tuangalie uwezo!!!!Unaonaje ikiwa muislam na mtu wa kusini na ana vigezo..litakupa tabu mkuu? au
Huku ni kubaka demokrasia. Unadhani Zitto atakubali tena kuuachia uenyekiti wa CHADEMA?
Hapana labda hujanielewa mkuu, nimesema kabila na dini isiwe kigezo cha kupata kiongozi, tuangalie uwezo!!!!
Mwenye CV ya Mwenyekiti wa CDM, Freeman Mbowe, tunaomba atuwekee humu Jamvini
Unaonaje ikiwa muislam na mtu wa kusini na ana vigezo..litakupa tabu mkuu? au
Hapana, Halitanipa Tabu.Nimuuliza tu kama muislamu halafu wa kusini lakini ana uwezo na vigezo hilo litakupa tabu? kuwa kiongozi wa chadema?