wako wapi wale wanaosema chadema ni taasisi na si mtu?
kuna mmoja anasema kuwa mbowe aliwatafuta akina zitto na akina mdee? hivi hii ni kweli? mimi nijuavyo chadema ilikuwa na nguvu muda mrefu huko kigoma kabla hata ya umaarufu wa mbowe. kumbuka akini Amani kaburu. Na dhani ni vizuri tusipotoshe ukweli.
Hata mm nafikiri kama Mbowe hatakubali basi mikoba akabidhiwe Slaa then Mbowe awe katibu mkuu.au mwaonaje?
Mi labda nianze kwa diagram, maana naamini picha inaongea zaidi...
View attachment 39158
Mkuu, hii summary ni kali kweli..imebidi niisome kwa umakini mkubwa ili kujua factors zilizosababisha hizo trends ambazo ni ukweli mtupu.
Mwenye CV ya Mwenyekiti wa CDM, Freeman Mbowe, tunaomba atuwekee humu Jamvini
Kwa kweli Mbowe katufanyia makubwa sana Chama chetu lakini hii haina maana kwamba aendelee kuwa mwenyekiti hadi hapo tutakapomuona ni mzigo kwenye chama. Mimi namshauri is better afuate Principle za Nelson Mandela na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Akiache chama chetu akiwa bado anapendwa na wanachama wote. Yaliyowakuta kina Daniel Arap Moi na Robert Mugabe ni matokeo ya kubaki madarakani kwa muda mrefu. Ukibaki madarakani kwa muda mrefu kawaida unaishiwa mikakati hatimae wanachama wanasahau mema yote uliyoyatenda. Mimi ningependa Kumshauri kamanda Mbowe ni kweli bado tunampenda lakini aangalie uwezekano wa kuondoka kwenye Uenyekiti akiwa bado na Mvuto. Tutaendelea kumuheshimu kama Mzee Edwin Mtei na Bob Makani. Ni lini ang'oke hilo sasa ni lake mwenyewe.
Ninaandika hapa jamvini nikiwa na mawazo lukuki juu ya mustakabali wa cdm endapo kamanda Mbowe ataamua kutogombea tena Nafasi ya uenyekiti wa chama taifa.Hakuna mwana jamvi asiyeelewa ni kwa jinsi gani kamanda na mpiganaji Mbowe amekikbeba chama hiki na kufikia hapa kilipo na kutishia kabisa mustakabali wa ccm.Juhudi, maarifa, kujituma, uthubutu na uzalenda wa kamanda huyu umeweza kuijenga cdm ambayo kwa sasa ni tumaini jipya kwa watanzania.Wengi wetu tunatambua kwamba mwaka 2013 kwa mujibu wa katiba ya chama ni mwaka ambao chama kitaenda kuchagua mwenyekiti mpya wa chama taifa. Mpaka sasa cjaona ni nani ambaye anaweza kurithi nyayo za kamanda huyu siye tetereka na mwenye uthubutu wa hali ya juu.Ni wengi sana wanaoutamani uenyekiti wa chama taifa na wengi wao wakiwa ni wale walio kwenye pay roll ya chama cha mapinduzi, nia na madhumuni yao yakiwa ni kukidhohofisha chama na kuacha upenyo kwa ccm kuendelea kushika atamu.Ninaomba ikiwezekana wale walio na nia njema na cdm pamoja na taifa kwa ujumla tumuombe kamanda Mbowe ifikapo 2013 agombee tena uenyekiti ili cdm iendelee kung'ara kuiondoa ccm madarakani.Nimejaribu kupitia katiba ya chama na cjaona limitation ya muda wa kuwa mwenyekiti.Hofu na mashaka ni kwa nafasi ya uenyekiti kutwaliwa na virus kama Zitto ambao tunajua wapo kwenye pay roll ya ccm.
Ninaandika hapa jamvini nikiwa na mawazo lukuki juu ya mustakabali wa cdm endapo kamanda Mbowe ataamua kutogombea tena Nafasi ya uenyekiti wa chama taifa.Hakuna mwana jamvi asiyeelewa ni kwa jinsi gani kamanda na mpiganaji Mbowe amekikbeba chama hiki na kufikia hapa kilipo na kutishia kabisa mustakabali wa ccm.Juhudi, maarifa, kujituma, uthubutu na uzalenda wa kamanda huyu umeweza kuijenga cdm ambayo kwa sasa ni tumaini jipya kwa watanzania.Wengi wetu tunatambua kwamba mwaka 2013 kwa mujibu wa katiba ya chama ni mwaka ambao chama kitaenda kuchagua mwenyekiti mpya wa chama taifa. Mpaka sasa cjaona ni nani ambaye anaweza kurithi nyayo za kamanda huyu siye tetereka na mwenye uthubutu wa hali ya juu.Ni wengi sana wanaoutamani uenyekiti wa chama taifa na wengi wao wakiwa ni wale walio kwenye pay roll ya chama cha mapinduzi, nia na madhumuni yao yakiwa ni kukidhohofisha chama na kuacha upenyo kwa ccm kuendelea kushika atamu.Ninaomba ikiwezekana wale walio na nia njema na cdm pamoja na taifa kwa ujumla tumuombe kamanda Mbowe ifikapo 2013 agombee tena uenyekiti ili cdm iendelee kung'ara kuiondoa ccm madarakani.Nimejaribu kupitia katiba ya chama na cjaona limitation ya muda wa kuwa mwenyekiti.Hofu na mashaka ni kwa nafasi ya uenyekiti kutwaliwa na virus kama Zitto ambao tunajua wapo kwenye pay roll ya ccm.