Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

toka wamemchukua waliemnadi kama fisadi namba 1, nimepoteza imani kabisa na chagadema.

sasa wametoka monduli watahamia sanawari kwa Joh MAKINI
na wabongo walivyo hodari kwa kufuata mkumbo
hivi mtei wa simanjiro
au rombo?
 
sio lazima kuchangi mada kwawale nziii wakijani mnaweza soma namukaendelea nayenu whatsapp au fb ndoseemu zenye ulazima wakuchangia mada tuachieni CDM yetu
 
Mbowe anakatibu wake mfukoni! Kweli hii ndio demos cratos ya kweli! Chadema ishini mliyoyahubiri enzi hamjafahamika.
 
Chama chenyewe kishapoteza mwelekeo na kinaelekea kufa lakini bado mnaleta habari zao humu kujaza Ukumbi, mmekombatia mafisadi na mnazidi Pokea Wezi waliotumbuliwa na MagufuliMagufuli.
Chama cha majipu ndicho kiwanda cha kuzalisha mafisadi na wazembe wote nchi hii.
 
toka wamemchukua waliemnadi kama fisadi namba 1, nimepoteza imani kabisa na chagadema.

sasa wametoka monduli watahamia sanawari kwa Joh MAKINI
na wabongo walivyo hodari kwa kufuata mkumbo
hivi mtei wa simanjiro
au rombo?
Nibora ungekaa kimya kuliko ulichokiandika maana ukijua na siyo kosalako mlaumi aliyekuleta humu
 
kwa hiyo kwa akili yako ya panzi uliyokuwa nayo upinzani ni kuua ajenda kuu ya ufisadi na kukaribisha mamluki yenye tuhuma za ufisadi kutoka ccm. hiyo ndio upinzani kwa tafsiri yako.! unachekesha. tuambie nani ana imani na hayo mafisadi eti upinzani ! kwa sasa. mnaua chama eti mnajifanya mnajenga upinzani. upinzani ulishakufa ni bora tumwachie Magufuli aendelee kutumbua majipu ya ukweli na sio hawa viongozi uchwara wetu wanaopiga hela kwa kwenda mbele.

Nadhani wewe ndo una akili ya panzi, kama si kweli kanusha kwa kuweka kumbukumbu sawa juu ya upinzani kufa hususan chadema kama Wasira alivyotangaza serikali iliyopita. ....

Usipotaja hili kwa kumbukumbu halafu ulinganishe na hali iliyopo kwa ushahidi kama chadema imekufa.
 
Huyu mbowe nae ni jipu tu, yy ni nani hadi amlete katibu?? Yeye mwenyewe cheo chake ni kizungumkuti hata sijui ni vipi CDM wanamiachia haya madaraka..huko cdm kuna kagenge kama mafisadi kanakomeza ruzuku na pesa zote za misaada kwa chama... Demokrasia gani wanayoihubiri wezi hawa??
 
Back
Top Bottom