Freeman Mbowe na Jopo lake Waingia Bunda, aongoza kikao cha Mashauriano

Mbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
 
Mbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
jitu
Mbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
jitu halina akili kaabisa Mr Makengeza konyagi kilaza zero DJ
 
jitu

jitu halina akili kaabisa Mr Makengeza konyagi kilaza zero DJ

Sukuma gang naona mmechanganyikiwa kisa legacy ya mwendazake imeguswa. Kwani uongo mwendazake alikuwa mkabila wa wazi wazi. Tatizo hampendi kuambiwa ukweli na ukweli ukisemwa kila siku mtakuwa mnachanganyikiwa maana huyo mwendazake wenu alifanya mambo mengi sana ya ovyo.
 
Mbowe ni takataka kama takataka zingine leo katukera sana kutamka mambo ya ukabila ,ni upuuzi wa hali ya juu sijawahi sikia Tang Dunia iumbwe
Mkabila ni yupi - aliyekuwa anafanya mambo kwa upendeleo au yule anayenena kuwa kuna upendoleo?
 
Kamanda mkuu Mbowe na chama kitukufu CDM hongereni mno kwa juhudi kubwa mnazofanya za kuturudisha watanzania kutoka utumwani. Wengi tulishapoteza utu wetu. Mungu awabariki sana!

Kweli zama zinabadilika, vitu kama hivi vilikuwa vigumu sana kutokea miezi michache iliyopita.

Mungu ibariki CHADEMA

Sawa komredi.....

Mashauriano yenyewe yamehusisha pia YALE MANENO YAKE YA tuhuma za UKABILA dhidi yake na watu wa Kaskazini ?!!!!

#TaifaLetuNiMoja
#WanasiasaWaacheMbelekoYaUkabila

Bado naona unyonge... Yuko wapi Kamanda Heche? Wale makamanda wa ukweli mpo wapi?

RIP camanda Alfonce Mawazo


Matapeli wanakula ruzuku

nyie wachaga na tapeli lenu hilo lenye makengeza mnalitembeza la nn jitu jizi likabila
 
AMEN Mkuu πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ Naipenda sana Chadema sikujua kama naweza kukipenda chama cha kisiasa kiasi hiki
mimi mkuu, nakipenda chama changu chadema toka moyoni ndani kule kabisa kabisa,, ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…