Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge Ester Matiko watazungumza na wandishi wa habari kile kilichojiri Magereza na Mengineyo
Updates:
=====
Updates:
=====
Chadema ni mpango wa mungu.Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge Ester Matiko watazungumza na wandishi wa habari kile kilichojiri Magereza na Mengineyo
Updates:
=====
Kada Mbowe atasema nini au ananyuka "wasaliti"Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge Ester Matiko watazungumza na wandishi wa habari kile kilichojiri Magereza na Mengineyo
Updates:
=====
Naona genye zimekuamka asubuhi asubuhi Hahahaa Mumeo Karudi uraianiMbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae
M/kiti ccm taifa ,magufuli ajihuzulu uenyekiti pamoja na urais ,kwasababu katengeneza matabaka na mgawanyiko ndani ya chama na taifa kwa ujumla.Mbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae
Tunasubiri sanaMwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge Ester Matiko watazungumza na wandishi wa habari kile kilichojiri Magereza na Mengineyo
Updates:
=====
Wewe Ndiye Unaewasemea Wana-CHADEMA??? pambana na CHOO Luw-aaasa mlicho Kirudisha Sebuleni,pambana na hali ya CCM yako tukutane 2020 General Election.Mbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae
kama watanzania wasivyo na imani na watu wasiojulikana na hao hapo ccmMbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae
Mbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae
Kwamwambie mwenyekiti wenu ajiuzuru mbowe hatojiuzuru mpaka utakufa kama ruge na kibonde wanasisiem wenzenu na mtakufa sana.Mbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae
Bora ni mungu maana Mungu alisema tusiupinge uongozi uliopo madarakani
Saa ngapi? Chanel gani? Nataka kupanga rariba Yangu vizuriMwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe na Mbunge Ester Matiko watazungumza na wandishi wa habari kile kilichojiri Magereza na Mengineyo
Updates:
=====
Huko mlikompokea hamjafanya kosa?Mbowe ajiuzulu uenyekiti wa chama kitendo cha kumuuzia nafasi ya kugombea urais Lowasa kimeichafua sana Chadema sasa hivi wanachama wote wa Chadema hawana imani nae