Freeman Mbowe Mgeni Rasmi Siku ya Wazee Duniani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,540
Reaction score
284,042
Mwamba wa siasa Nchini Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema , Freeman ametajwa hadharani kwamba atakuwa mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yatakayofanyia Mjini Dodoma .

Taarifa za Uhakika zinadokeza kwamba Maadhimisho hayo yatafanyika kwenye Hotel ya Dear Mama Mjini Dodoma tarehe 01/10/2022 .

Kama kawaida yetu , tutakuwepo ndani ya Hotel hiyo ili kuwaletea yatakayojiri .

UPDATES
============
Hali ndio kama mnavyoiona wenyewe .

Makamu mwenyekiti wa Baraza la wadhamini , Maulida Komu akitoa neno

View attachment 2373789

Jenerali Ulimwengu akiingia ukumbini

View attachment 2373791

Wazee wakisubiri mwelekeo wa Dira ya Taifa kutoka kwa Mwamba Mwenyewe Ustaadh Aboubakar Mbowe

View attachment 2373793View attachment 2373794
 
Sina hamu kabisa na Mbowe, ametuuza kwa ccm.
Tangu lini shetani akawa rafiki?
Mwafaka gani wa kisiasa na adui wa nchi?
 
Wamempatia kwl Mbowe mzee ajiuzulu anasubiri nini? Mbowe ni shetani wa mabadiliko.
 
Amekuwa Mzee sasa. Chama kinahitaji damu mpya
 
Siku hizi hamunwa.. vya kuturushia.. mumepoa.. futi sita.. imejazwa.. inawekwa vizuri.. 🤣🤣🤣

Kazi iendeleeee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…