Hii ni kesi ya serikali dhidi ya chama dume!Yeees, nchi hii inatawaliwa kwa kufuata misingi ya sheria. Tuiache sheria ifuate mkondo wake.
<br />Angalizo kwenu wakuu tuwapo mahakamani kesho, mkumbuke kuwa mahakama haina chama tukiwa mahakamani tusilete siasa tukajikuta tunaishia mahabusu/jela,hivyo kushindwa kuendeleza elimu ya uraia Uraiani.
<br />
<br />
Hengo,acha uoga,historia haiwakumbuki waoga,
<br />
<br />
Hengo,acha uoga,historia haiwakumbuki waoga,
Kumbe walifungua kesi mahakamani? Kazi kwelikweli!
Hata wewe unasubiri kukumbukwa na historia?? Kwa lipi uliloitendea Tz?? Mbowe na CDM yako watakutumia kama toilet paper, baadaye usanii utatembezwa kwa njia ya magwanda kukugombea. Sanasaana...utakumbukwa na shangazi zako...period. THAT'S YOUR POOR POLITICAL PARTy
Mkuu,bado upo kumbe?!
Habari za Ccm?
<br />
Maana yake ni kwamba mahakama imeruhusu maandamamno ya wanachama wa CHADEMA kutokea ofisi ya CHADEMA kuelekea mahakamani.
Kibali ni hii summon ya mahakama kama mshitakiwa wa kwanza na kadi ya uanachama wa CHADEMA.
Asubuhi viongozi watoe photocopy nyingi za hati hiyo ya mahakama ili polisi wakkijipanga barabarani waonyeshwe kuwa Mahakama kwa namna moja imeitisha mkusanyiko halali wa wana-CHADEMA pale Mahakamani na ni uhuru wao kupita njia yoyote kufika mahakamani.
Hapo ni Arusha. Sehamu zingine nchini wana-CHADEMA wanaweza kutafuta sehemu moja wakakusanyika na kuandamana kuelekea eneo lolote ili kukaa na kusikiliza maendeleo ya kesi hata kama ni kwa kutumia simu zao.
Ndipo hapo watakapojua wameamsha wenyewe mandamano nchi nzim bila wao kujijua!
<br />Hata wewe unasubiri kukumbukwa na historia?? Kwa lipi uliloitendea Tz?? Mbowe na CDM yako watakutumia kama toilet paper, baadaye usanii utatembezwa kwa njia ya magwanda kukugombea. Sanasaana...utakumbukwa na shangazi zako...period. THAT'S YOUR POOR POLITICAL PARTY.
<br />@ kwayu hawa madiwani walichemka mshitakiwa wa kwanza cdm mshitakiwa wa 2 freeman mbowe wala hawajamshitaki kwa wadhifa wake wamemshitaki personal na cdm hawajaainisha ni wathamini au wanachama wote
mkuu umeshafikaKama kawaiiidaaa! Tutakuwa mahakamani na na tutareport live kama kawaida yetu! <br />
Hakuna kulala mpaka kieleweke! Na ili kuweka mambo sawa, nitakuwa na kadi yangu mfukoni na nitafahamika kama mtuhumiwa namba moja!