Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Mheshimiwa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Popote ulipo nakusihi ufahamu kuwa kimya hiki kwenye suala la wabunge 19 ni bomu linalosubiria kulipuka ndani ya chama.
Basi fanya hima kuitisha kikao hata online,ili hukumu ya rufaa ya wanawake hawa iwe dhahiri.
Kila la kheri.
Popote ulipo nakusihi ufahamu kuwa kimya hiki kwenye suala la wabunge 19 ni bomu linalosubiria kulipuka ndani ya chama.
Basi fanya hima kuitisha kikao hata online,ili hukumu ya rufaa ya wanawake hawa iwe dhahiri.
Kila la kheri.