Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,507
- 26,197
Rais wako anayesifika kwa uchapa kazi anamtambua Mbowe sembuse weweHamna alichofanya huko jimboni acha kumtetea hyo tabia yake mbaya ya kutelekeza wananchi mbunge mzima hashiriki kazi za kijamii yet unamtetea na ndio maana alizomewa mkasema ni waliotumwa kumbe ni wananchi wake, akirudi bungeni ajirekebishe na kuchaguliwa kwake ni vile tu watu haiipendi ccm damuni na siku ccm wakileta mgombea potential huyo mbowe hapati wananchi wanataka mabadiliko sio watelekeza Jimbo na warudi siku ya kutaka kura tu