Freeman Mbowe anajiunga lini Chaumma?

Freeman Mbowe anajiunga lini Chaumma?

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,103
Reaction score
9,587
Sio siri wala kificho tena. Mliopo karibu na Freeman Mbowe mwambieni asijifiche tena, atoke kichakani na kulitangazia Taifa siku gani anahamia Chaumma.

NB
Poleni kwa msiba wa spika mstaafu Job Ndugai. Atapewa mazishi ya kitaifa?
 
Kwani akihamia kuna sheria atakua amevunja? Kwanini umpangie akutajie tarehe ya kuhamia ? Muache na uhuru wake binafsi
 
Kuna watu mnawashwa sana. Akihama au asihame, amekuzuia nini wewe?!
 
Tunamsubiri kwa hamu kubwa Baba Bata - vitoto vya bata vishatangulia tayari kumwandalia Baba bata makao mapya.
 
Sio siri wala kificho tena. Mliopo karibu na Freeman Mbowe mwambieni asijifiche tena, atoke kichakani na kulitangazia Taifa siku gani anahamia Chaumma.

NB
Poleni kwa msiba wa spika mstaafu Job Ndugai. Atapewa mazishi ya kitaifa?
anytime
 
Back
Top Bottom