Kiongozi wa wachagga ndio kiongozi wa CDM?Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko hiyu sellout.
Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!
Na hii ndio Sababu Odinga amekutana na Mwamba ili aombe radhi kwa kushirikiana na mwovuNaona Mwenyekiti kakutana na rafiki yake wa kufa na kuzikana marehemu JPM...
Kipi hukijui ?Hebu itaje hiyo hazina
Na hii ndio Sababu Odinga amekutana na Mwamba ili aombe radhi kwa kushirikiana na mwovu
Ukitaka tufanye uchambuzi CCM ni aibu tupu 50% ya wabunge wa CCM wanajua kusoma na kuandika tuu. Haya mambo ya uongozi naomba tusichunguze sana maana hata mama nae kapita pita tuu ukisema utafute kasoma wapi exactly tutaishia kukamatwa .Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko hiyu sellout.
Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!
Fool huwa haelewi Foolsday inamaanisha nini.Naona mtakuwa na mkutano wenu sikukuu ya wajinga.
Siasa za mitandaoni zimekuathiri kijana pole sana.Hahahha.. Wamebadiri gia angani tena?
Hawa si walikuwa wanamkandia Odinga baada ya kuwa na urafiki na Magu?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
swali duni nno!kwa sababu Raila na huyo jamaa hapo wenyewe sio waovu!
Leo unasema ni siasa za mtandaoni?Siasa za mitandaoni zimekuathiri kijana pole sana.
Haya hayaongezi chochote kwenye hali tuliyonayo sisi.Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi.
Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi.
Kipekee, amewasihi Viongozi na Wagombea hao kuhakikisha vurugu za uchaguzi zilizotokea nchini Kenya miaka ya nyuma na kusababisha vifo vya Wakenya kamwe havijirudii tena.
Aidha, amewataka kutambua nafasi ya Taifa la Kenya katika kuendeleza Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu katika Eneo la Jumuia ya Afrika Mashariki na kwamba wanapaswa wakati wote kulinda na kuendeleza mafanikio hayo.
Mheshimiwa Mbowe amewatakia Wakenya wote mchakato mwema wa Uchaguzi wao wa August 2022.
View attachment 2169614View attachment 2169613
Paka wa Lumumba bado mnadanganyana kuwa Mbowe anaongoza Wachaga. Karibuni Kuja na propaganda mpya. Hiyo imeptwa na wakati....!!Hivi Wachaga wamekosa kweli mtu wa kumuamini na kuwaongoza ? Mbona Wachaga wengi sana wapo ni wasomi wazuri wangeweza kuwawakilisha Wachaga kuliko huyu sellout.
Ni aibu kubwa sana kwa Wachaga kuongozwa na mtu kama Mbowe, aibu!
Zamani sana.zandrano umekwisha kutana naye?
Sina njaa....kwani huenda ikakusaidia kuikabili njaa.
1.LijuakaliHebu itaje hiyo hazina
Mkuu ondoa shaka kabisa , Odinga hakuwa Rafiki wa Jiwe , ile ilikuwa mikakati ya Kenya ili asiendelee kuua vifaranga vyao , Rafiki yako hawezi kuacha kuhudhuria mazishi yako , Raila hakuja kumzika yule jamaaHaya hayaongezi chochote kwenye hali tuliyonayo sisi.
"Nafasi ya Kenya katika kuendeleza uhuru, haki na maendeleo"? Kweli Tanzania imedidimia kuliko mfano, kama tumefikia kuiona Kenya ndiyo mfano wa sifa wa mambo hayo.
Sasa sijui sababu iliyompeleka huko hadi kukutana na hao watu, lakini sioni maana yoyote kwa CHADEMA kuchukulia Kenya kama 'model' sahihi ya kuigwa hapa. Hili ni moja ya mambo yanayotia shaka na mwelekeo mzima wa chama hiki. Inatia mashaka sana.
Huyu 'jamaa' ndiye alikuwa rafiki mkubwa wa Magufuli, kweli naona Aikael kaamua kusamehe na kusahau yaliyotokea huko nyuma.