Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,865
- Thread starter
- #41
kwani hiyo ndege ni ya magufuli?
kwani hiyo ndege ni ya magufuli?
Yehodaya, hawa level yao hutaifikia, kushindana nao ni kujilisha upepo na ubatiliSema Mbowe akutana na baba mkwe wake mwanzilishi wa Chadema aliyemkabidhi chama Mbowe aliyeoa binti yake ili awe anaendelea kumpelekea pesa ya ruzuku baba mkwe
wajuz wa uchumi watafafanua zaidi kuhusu historia ya mzee wetu mtei ila m namini babu mtei alimshauri vizur mzee mchongaAlikuwa anataka kuishusha shilingi toka darini au mlimani? Kiswahili tata hapa, hebu tufafanulie!
Kwa hiyo Mbowe kaoa binti wa Irene.Huyu ni mkwe wake pia usisahau Mbowe amemwoa binti yake Irene
Huyo Joyce Mukya wote tunamfahamu, alikuwa viti maalum bunge lililopita. Swali hapa ni kuwa, je, kuna mtoto wa Mzee Mtei anaitwa Irene na kaolewa na Mbowe! Hiyo nyumba ndogo uliyoisema tunaijua na ipo pale Arusha!Mkewe wa ndoa anaitwa Lilian Mbowe sio Irene lakini pia amezaa na aliyekuwa mbunge wa viti maalumu Chadema,Joyce Mukya watoto wawili ni nyumba yake ndogo uhusiano wao uliwahi kuleta mtafaruku sana kwenye ndoa ya wawili hawa kwa sasa hatujui nn kinaendelea
Alimshauri kitu gani ambacho Nyerere alikataa? Na kama ilikuwa ni kushusha thamani ya shilingi ilikuwa ishuke hadi asilimia ngapi na kwa sababu gani, na nini ingekuwa faida ya kushusha hiyo thamani ya shilingi. Ndivyo vitu tunataka utuambie hapa badala ya kusema tu kuwa naamini Mzee Mtei alimshauri vizuri mchonga ambapo yeye mchonga alikataa ushauri. Acheni vitu msivyovijua kuvileta humu! Leta kitu unachojua wewe badala ya kuviokoteza mitaani na kuleta ushabiki na upenzi wa Mtei.wajuz wa uchumi watafafanua zaidi kuhusu historia ya mzee wetu mtei ila m namini babu mtei alimshauri vizur mzee mchonga
Sasa nini kinamzuia kuwa legend na wakati bado yupo hai!Bila historia yetu kuchezewa hawa wazee kina Mtei ni among our nation legends.
Na hakuna binti wa Mtei anayeitwa Irene.Kwa hiyo Mbowe kaoa binti wa Irene.
Au Mbowe kamuoa binti wa mzee mtei aitwaye Irene
Kuna jamaa alitaka eti somo la historia lifindishwe kwa kiswahili tangu primary hasi university na hiyo historia iwe ya Tanzania tu..Sasa nini kinamzuia kuwa legend na wakati bado yupo hai!