Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,914
- 10,273
Majiji yetu yamelala mno ingetakiwa ukiingia Dar/Mwanza/Arusha/Mbeya/Moshi unaconnect free wifi?
Vyuoni ni upofu wa TCRA na TCU. Ingekuwa ni lazima na wapewe special rates unlimited.
Kwanini basi la mwarabu liwe na wifi vyuo vikuu ishindikane?
TCRA na TCU wanaingiaje hapa ?
Mitandao ya simu (Tigo,Airtel,Vodacom &Halotel) wana vifurushi maalum kwa wanavyuo