Maendeleo yanayopatikana Africa sio kana kwamba yanafurahisha nchi za magharibi. Wanachukua sana nchi za magharibi, awataki mwafrika anyanyuke wanataka mwafrika anyanyuke baada ya miaka 10. Na ndio maana angalia biashara nyingi kama magari yamekuwa yanaingia apa Africa baada ya miaka 10, na vifaa vinginevyo kama electronic devices
Uwepo wa mchina na mjapani katika dunia hii ndio umemsaidia mwafrika anyanyuke, kwa sababu wao soko la Ulaya lilikuwa gumu kupita, walikuwa wanawekewa vizuizi kupitisha bidhaa zao na ndio maana wakajalibu kufanya soko Lao Africa.
Tageti ya watu wa magharibi walikuwa watengeneze bidhaa waitumie wao, alafu waiuze Asia na wao wakishaiChoka waiuze Africa baada ya kutumia uko kote
Angalia bidhaa za apple iPhone simu wameshindwa soko la Africa